Alifahamika zaidi kupitia kipindi cha uchekeshaji kilichokuwa kikirushwa na EATV na baadae TBC.
Masanja amevunja ukimya na kuweka wazi tarehe atakayopata jiko (atakapo oa). Masanja amesema kuwa anatarajia kufunga ndoa tarehe 14 Agosti 2016.
Kuanzia tarehe 15 Agosti 2016, kambi ya makapera itakuwa imempoteza mtu wao mpendwa, Masanja Mkandamizaji.
Post a Comment