Kuhusu ishu ya Agness Masogange iliyosemwa na Wema Sepetu: Mimi nina kifua cha kuhimili mikiki yote, kwa hiyo ni kama ina niongezea nguvu, sasa wewe umekamtwa unashindwaje kumtaja muhusika akakamatwa?RC Makonda: Vigogo wengine wanaotuhumiwa kwa Dawa za Kulevya ni Mbunge mstaafu Azzan, Freeman Mbowe, Boss Chizenga, Hussein Pambakali— Bin RUWEHY (@BinRuwehy) February 8, 2017
Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya
-
DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam
wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa
na mashtaka y...
3 months ago
Post a Comment