Baada ya jumla ya michezo 13 kupigwa usiku wa jana na kukamilisha idadi ya jumla ya timu 16 zinazosonga mbele katika michuano ya Europa League, hatimaye leo ijumaa ya February 24 droo ya round ya 16 bora imepangwa.
Club anayochezea Mtanzania Mbwana Samatta KRC Genk imejikuta mikononi mwa Gent ambayo pia ni club kutoka nchini Belgium.
Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya
-
DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam
wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa
na mashtaka y...
3 months ago