Kampuni ya kubashiri ya SportPesa tayari ni wadhamini rasmi wa Simba. Wameingia mkataba wa miaka mitano na wachezaji wa Simba wakati wa mapumziko walivaa jezi mpya zenye jina la mdhamini huyo kifuani ikiwa ni mara ya kwanza wakiwa uwanjani wakiivaa Stand United na kushinda kwa mabao 2-1.
Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya
-
DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam
wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa
na mashtaka y...
3 months ago
Post a Comment