banner

August 23, 2017

BREAKING NEWS: KIDAO WILFRED KAIMU KATIBU MKUU TFF

BREAKING NEWS: KIDAO WILFRED KAIMU KATIBU MKUU TFF

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imepitisha jina la Kidao Wilfred kuwa Kaimu Katibu Mkuu.
Kidao ambaye ni mchezaji wa zamani wa Taifa Stars ambaye pia Mwenyekiti wa Chama cha Makocha Tanzania (TAFCA), ameteuliwa rasmi jana Agosti 22, 2017 na Kamati ya Utendaji ya TFF. Wasifu wa Kidao utawajia punde.

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search