banner

October 01, 2018

MANARA AMSHANGAA KOCHA YANGA, AELEZA HAYA

MANARA AMSHANGAA KOCHA YANGA, AELEZA HAYA

Na Haji Manara

Mpira ni mchezo wa hadharani hauchezewi chumbani, sijaelewa Kocha aliposema walikuja kulinda huku akiruhusu Simba watengeneze nafasi.

Kwa kadri nnavyofahamu unapocheza mpira wa kujilinda, hupaswi kuruhusu mpinzani wako kutengeneza nafasi na humpi hyo nafasi.

Kocha anajisifu wakati umepigiwa mipira iliyolenga lango na ambayo haijalenga 10 kumi, fikiria zingeingia! 

Kocha anaekuja na mipango ya kujihami hakupi nafasi ya kulisogea goli, utaishia nje ya 18 hii ni hadaa kubwa.

Hivi angewaeleza nini kama zile tageti zingejaa? Kwangu mimi narudia nyota wa mchezo ni Kakolanya na bahati tu si kwa mbinu zile za kuruhusu shots on & off 20.

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search