UONGOZI wa Yanga umesema wiki hii utaweka hadharani majina ya wachezaji watakaoachwa ili kuwapa muda wa kujipanga.
Mpaka sasa bado kuna wachezaji ambao hawajua hatma yao ndani ya Yanga huenda wakajua mwisho wao kama watabaki ama kusepa mazima.
Wachezaji hao ni pamoja na
Anthony Matheo
Deus Kaseke
Haji Mwinyi
Mrisho Ngassa
Mpaka sasa bado kuna wachezaji ambao hawajua hatma yao ndani ya Yanga huenda wakajua mwisho wao kama watabaki ama kusepa mazima.
Wachezaji hao ni pamoja na
Anthony Matheo
Deus Kaseke
Haji Mwinyi
Mrisho Ngassa
Post a Comment