banner

August 25, 2019

HIZI HAPA NNE KUSHUKA UWANJANI LEO TPL

HIZI HAPA NNE KUSHUKA UWANJANI LEO TPL


LEO Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na Vodacom inaendelea ambapo mechi mbili zitachezwa kwa timu nne kushuka uwanjani kama ifuatavyo:-

Mwadui v Singida United, uwanja wa Mwadui.

Lipuli v Mtibwa Sugar uwanja wa Samora.

Mechi zote zinapigwa saa 10:00 jioni.


Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search