banner

January 13, 2020

BREAKING; KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA MTIBWA, MO ABWAGA MANYANGA

BREAKING; KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA MTIBWA, MO ABWAGA MANYANGA

BAADA ya Simba kushindwa kuchukua taji la Mapinduzi leo Visiwani Zanzibar, Mwenyekiti wa Bodi ya klabu ya Simba, Mo ameamua kujiuzulu kwa kuandika namna hii kwenye mitandao yake ya kijamii.


Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search