banner

April 04, 2020

BARCELONA WAINGIA ANGA ZA KUIWNDA SAINI YA NYOTA WA UNITED GOMES

BARCELONA WAINGIA ANGA ZA KUIWNDA SAINI YA NYOTA WA UNITED GOMES


GOMES Angel nyota anayekipiga ndani ya Manchester United amewekwa kwenye rada na Barcelona.

Kinda huyo anayekipiga ndani ya United mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu.

Gomes ana miaka 19 anataka kutimka ndani ya kikosi hicho licha ya United kumpa ofa ya pauni 25,000 kwa wiki.


Uwezo wake umewavutia vigogo ndani ya La Liga hivyo kuna uwezekano United wakaikosa huduma yake.


Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search